walioitwa katika usaili Halmashauri ya Siha wakifanya usaili wa maandishi katika moja ya vyumba vilivyoandaliwa na Halmashauri ya Siha
mafuriko ya walioitwa katika usaili wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Afisa Utumishi na Utawala wa Halmashauri ya Siha mara baada ya kutoka katika usaili
Hawa ni baadhi tu ya walioitwa katika usaili katika halmashauri ya Siha wakiwa katika shule ya Sekondari Kilingi
Afisa utumishi na Utawala Nico Kayange katikati akitoa maelekezo mbalimbali kwa waliomba ajira mpya Siha
Usaili ukifanyika chini ya uangalizi makini wa Maofisa wa Halmashauri ya Siha waliokabidhiwa jukumu hilo .zoezi hilo zimeanza leo kwa mchujo wa kwanza na litaendelea hadi tarehe 25.10.2017
No comments:
Post a Comment