Monday 23 October 2017

Picha matukio zoezi la usaili ajira mpya halmashauri ya Siha Oktoba 23,2017




walioitwa katika usaili ajira mpya halmashauri ya Siha wakiwa katika majengo ya shule ya Sekondari Kilingi wakisubir maelekezo ya usaili mapema leo asubuhi tarehe


 walioitwa katika usaili Halmashauri ya Siha wakifanya usaili wa maandishi katika moja ya vyumba vilivyoandaliwa na Halmashauri ya Siha

  mafuriko ya walioitwa katika usaili wakisikiliza maelekezo  kutoka kwa Afisa Utumishi na Utawala wa Halmashauri ya Siha mara baada ya kutoka katika usaili


 Hawa ni baadhi  tu ya walioitwa katika usaili katika halmashauri ya Siha wakiwa katika shule ya Sekondari Kilingi
 Afisa utumishi na Utawala Nico Kayange katikati akitoa maelekezo mbalimbali kwa waliomba ajira mpya Siha

Usaili ukifanyika chini ya uangalizi makini wa Maofisa wa Halmashauri ya Siha waliokabidhiwa jukumu hilo .zoezi hilo zimeanza leo kwa mchujo wa kwanza na litaendelea hadi tarehe 25.10.2017

No comments:

Post a Comment