Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe.Onesmo Buswelu(wa kwanza kushoto) akishiriki katika mafunzo yanayohusu manunuzi ya Umma yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Siha leo jumanne tarehe 10.4.2017
Kaimu Mkurugenzi wa bodi ya manunuzi ya Umma Tanzania mhe.Godfrey Mbanyi akitoa mafunzo ya masuala ya manunuzi ya Umma kwa wahasibu wa Halmashauri,wakuu wa shule za sekondari Siha na Wenyeviti wa bodi za shule za sekondari Wilaya ya siha.
Baadhi ya wajumbe wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Siha wakisikiliza mafunzo ya masuala ya manunuzi ya Umma
No comments:
Post a Comment