Wednesday 13 April 2016

MAADHIMISHO YA UPANDAJI MITI KIMKOA WILAYA YA SIHA 2016

  

HALMASHAURI YA WILAYA YA SIHA       
                                              TAREHE 13.4.2016 
TANGAZO KUHUSU  UPANDAJI MITI 
MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIHA ANAWATANGAZIA WANANCHI NA  WATUMISHI WOTE KUWA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO MH. SAID M. SADIKI ATASHIRIKI MAADHIMISHO YA UPANDAJI MITI KIMKOA YATAKAYOFANYIKA WILAYA YA SIHA SIKU YA IJUMAA TAREHE 15.4.2016. 

AIDHA, SHUGHULI HIYO ITAFANYIKA ENEO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA  SIHA KUANZIA SAA 3:00 ASUBUHI.


HIVYO WANANCHI NA WATUMISHI WOTE MNATAKIWA KUSHIRIKI VEMA KATIKA ZOEZI HILO MUHIMU LA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA.

LIMETOLEWA NA

Dkt. Best Magoma 
Kaimu Mkurugenzi  Mtendaji Halmashauri  (W) SIHA 



No comments:

Post a Comment