Saturday 3 May 2014

ZOEZI LA UPANDAJI MITI KATIKA KATA YA GARARAGUA,KIJIJI CHA WIRI WILAYA YA SIHA

Mkuu wa Wilaya ya Siha Dr Charles Mlingwa akipokea taarifa fupi ya upandaji wa Miti katika Kata ya Gararagua iliyopo Wilayani Siha.zoezi hili limefanyika mwishoni mwa wiki
mkuu wa Idara ya Ardhi na Maliasili Wilaya ya siha ndugu Jonas  P.M akieleza jambo katika zoezi la upandaji miti kijiji cha Wiri mbele ya mkuu wa Wilaya ya Siha ambaye pichani hayupo

No comments:

Post a Comment