Monday 12 May 2014







jengo la kisasa la hospital mpya ya Halmashauri ya Wilaya ya Siha linalotegemewa kutumika katika siku za hivi karibuni katika kuimarisha huduma za afya kwa Wananchi wa Siha



wananchi wa kijiji cha Wiri kata ya Gararagua wakiitikia wito wa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro wa Kuotesha miti katika maeneo mbalimbali ya kuzunguka eneo la ofisi ya kijiji cha Wiri





HILI NI LANNGO LA LONDOROSI GETI SEHEMU AMBAYO ITATUMIKA KUPANDA MLIMA  KILIMANJARO KATI YA TAREHE 15-18 2014 NA WATALII WA NDANI KUTOKA MKOA WA KILIMNAJARO (PICHA HAPA CHINI)






HALI ILVYOKUWA KATIKA UWANJA WA USHIRIKA MJINI MOSHI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA WAFANYAKAZI MEI MOSI 2014


No comments:

Post a Comment