Saturday 17 May 2014

baadhi ya watumishi wa Wilaya ya siha waliofika katika moja ya vilele vya mlima kilimanjaro siku ya ijumaa tarehe 16.05.2014 katika kuitikia wito wa kuboresha utalii wa ndani ulitolewa na TANAPA


vijana wa wilaya ya Siha wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupata mafunzo ya utunzaji wa fedha yaliyotolewa na COBAT kwa ushirikaino na We Effect kutoka Sweden..mwenye nywele nyeupe wa Nne kutoka kulia ni Fuhanael Kihunrwa mmoja wa wawezeshaji katika mafunzo haya yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Amani sanya Juu

No comments:

Post a Comment