Wednesday 1 November 2017

Siha yazindua zoezi la kupiga chapa mifugo Leo tarehe 01.11.2017

 Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe.Onesmo Buswelu akizindua zoezi la kupiga chapa mifugo Kijiji cha Magadini Kata ya Gararagua Leo tar 01.11.2017

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha mhe. Valerian Juwal akishiriki katika zoezi la upigaji chapa mifugo katika Wilaya ya Siha leo tarehe 01.11.2017


Katibu Tawala wa Wilaya ya Siha Nicodemus John akishiriki katika zoezi la uzinduzi wa upigaji chapa mifugo katika Wilaya ya Siha.

No comments:

Post a Comment