Wednesday 2 November 2016

Wajumbe wa Kamati ya ushauri ya Wilaya ya SIHA yakutana kwa kikao cha kawaida.



Wajumbe wa kamati ya ushauri ya Wilaya ya SIHA wakiwa katika kikao cha kawaida cha kamati hiyo. Kikao kinaendelea katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya Wilaya ya SIHA

Wajumbe wa DCC -wilayani SIHA wakiendelea NA kikao cha kawaida katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya SIHA muda huu

No comments:

Post a Comment