Wednesday 2 November 2016

Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya SIHA chafanyika leo tarehe 2.11.2016


Mkuu wa Wilaya ya SIHA Mhe. Onesmo Buswelu akifungua kikao cha kawaida cha kamati ya ushauri ya Wilaya ya SIHA mapema Leo asubuhi. Kikao hicho kinafanyika katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya Siha

Wajumbe wa kamati ya ushauri Wilayani SIHA wakiwa katika kikao cha kawaida cha kamati hiyo katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya SIHA mapema Leo asubuhi.

No comments:

Post a Comment