Tuesday 9 June 2015

SIHA YAPATA TUZO USAFI WA MAZINGIRA 2015

 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Gharib Bilal akimkabidhi  cheti cha ushindi wa tatu kwa vijiji bora kwa afya na Usafi wa Mazingira Tanzania bara   mratibu wa Kampeni ya Usafi na mazingira Wilayani Siha, Bi Joyce Tarimo.Kijiji cha mawasiliano kata ya gararagua kilishika nafasi ya tatu kitaifa na kwanza katika mikoa ya kanda ya kaskazini mwa Tanzania

No comments:

Post a Comment