Friday, 12 July 2019
Pata matokeo ya Kidato cha Sita shule za Sekondari Siha mwaka 2019
Bofya hapa kuona Matokeo ya shule za Siha
http://www.sihadc.go.tz/new/angalia-matokeo-kidato-cha-sita-2019-shule-za-siha
matukio ya Mwenge wa Uhhuru wapokelewa kwa Shangwe Wilayani Siha
Wananchi wa Kata ya Ndumeti walivyoupokea Mwenge wa Uhuru ulipowasili Wilaya ya Siha mwaka 2019
Wananchi wa Kijiji cha Matadi Kata ya Ndumeti walivyopokea Mwenge wa Uhuru katika shule ya Sekondari matadi ulipowasili shuleni hapo tarehe 20.6.2019
Kata ya Ndumeti kijiji cha Matadi ilivyotia fora katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2019
Madiwani Siha wapanga mkakati wa kuimarisha mapato ya ndani ya Halmashauri
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Siha wakisikiliza Mawasilisho ya miradi mkakati inayotarajiwa kutekelezwa katika Halmashauri ya Siha -Kilimanjaro
Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe. Onesmo Buswelu akiongea na Waheshimiwa Madiwani walipokuwa katika mkutano wa kawaida wa baraza tarehe 11.7.2019
Waheshimu Madiwani wa Halmashauri ya Siha wakiwa katika mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani Siha tarehe 11.7.2019
Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe.Onesmo Buswelu akisema jambo katika Baraza la Madiwani Halmashauri ya Siha tarehe 11.7.2019
ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Wilaya ya Siha tarehe.7.7.2019
Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe Onesmo Buswelu akimpokea Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Siha tarehe 7.7.2019
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Siha mhe. Godson Ngomuo akimpokea katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa
Katibu Tawala wa Wilaya ya Siha Joseph Mabiti akisalimiana na katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa ndugu Bashiru Ally akisalimiana na Wakuu wa Idara na Vitengo alipowasili katika Hospitali ya Wilaya ya Siha
Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Siha Dkt. Barnabas Mbwambo akisalimiana na Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa
Mbunge wa Jimbo la Siha Mhe. Godwin Mollel (katikati ) akipokea burudani kutoka ngoma za kabila la Kimaasai walipompokea katibu mkuu wa CCM Taifa
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Bashiru Ally akifurahia ngoma ya kimaasai alipowasili katika Hospital ya Wilaya ya Siha
Subscribe to:
Posts (Atom)